Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 749
- 1,797
Bahati yenu mmenusurika na nyie,wazinzi wakubwa!Napajua hapo.
Nilikuaga naenda kumgonga demu wangu anaitwa Brenda alikua anasoma pale Makumira University.
Lodge za kule Tengeru zilikua bei juu nikawa nashindwa ku-afford.
umemuuza brenda mkuu😀😀Napajua hapo.
Nilikuaga naenda kumgonga demu wangu anaitwa Brenda alikua anasoma pale Makumira University.
Lodge za kule Tengeru zilikua bei juu nikawa nashindwa ku-afford.
Brenda yup huyoNapajua hapo.
Nilikuaga naenda kumgonga demu wangu anaitwa Brenda alikua anasoma pale Makumira University.
Lodge za kule Tengeru zilikua bei juu nikawa nashindwa ku-afford.
aiseeBrenda
Yupo dar anafanya kz barBrenda yup huyo
Kwamba alikuwa anasoma Makumira University na sasa anauza bar sio?Yupo dar anafanya kz bar
Mtoto kutoka Uganda.Kwamba alikuwa anasoma Makumira University na sasa anauza bar sio?
Mkuu mbona umemwanika demu wako aliyekuwa akikupa furaha na releaf ya mwili kila ulipotingwa?! Hata kama haupo nae tena try to respect her dignityMtoto kutoka Uganda.
Alirudi likizo Campala mipaka ikafungwa sababu ya corona hakurudi tena bongo!
AussieWatu sita akiwemo mmiliki wa nyumba ya kulala kulala wageni ya Australia Lodge wamenusurika baada ya nyumba hiyo ‘gesti’ iliyopo Maji ya Chai wilayani Arumeru mkoani Arusha kuteketea kwa moto wakiwa wamelala.
Moto huo uliotokea ghafla wakati watu hao wakiwa wamelala unadaiwa kusababishwa na mtu mmoja ambaye alitoweka baada ya moto huo ukiunguza gesti hiyo.
Akizungumzia tukio hilo leo Jumapili Januari 16, 2022 mmiliki wa gesti hiyo ambaye ni miongoni mwa walionusurika, Silvester Masawe amesema tukio hilo limetokea Ijumaa alfajiri wakati yeye pamoja na wateja wake watano wakiwa wamelala.
[https://a24tv]
“Kwa kweli hakuna kilichookolewa kila kitu kimeteketea kwa moto zikiwemo nguo za wageni na thamani ya mali zilizoungua pamoja na jengo inafika milioni 100” amesema
Mmoja wa walionusurika, Mohammed Rashid amesema moto huo umeteketeza kila kitu ikiwamo Sh300, 000 na nguo zake zote.
Kwa upande wake balozi wa eneo hilo, Kundandumi Kanuya amesema kuwa moto huo ulizuka alfajiri baada ya wapita njia kuona ukitokea katika chumba kimoja wapo na kuteketeza Kila kitu huku wageni waliokuwa wamelala wakiokolewa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justin Masejo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na mtu mmoja anashikiliwa kwa mahojiano na ikibainika ni yeye hatua zaidi zitachukuliwa.
“Nikweli tukio hilo lipo na kikosi cha zima moto walifanikiwa kudhibiti moto huo usisambae eneo linguine na mtu mmoja anashikiliwa kwa mahojiano na kithibitisha ni yeye aliyeusababisha atachukuliwa hatua “amesema
View attachment 2084074View attachment 2084076View attachment 2084079
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Vipi Brenda?Pathetic!
Huyu manzi kafariki bro....Napajua hapo.
Nilikuaga naenda kumgonga demu wangu anaitwa Brenda alikua anasoma pale Makumira University.
Lodge za kule Tengeru zilikua bei juu nikawa nashindwa ku-afford.
Wewe ndio Brenda?Mkuu mbona umemwanika demu wako aliyekuwa akikupa furaha na releaf ya mwili kila ulipotingwa?! Hata kama haupo nae tena try to respect her dignity
Something is ain't right upstairs dogo. Na kama si hivyo basi hauko sawa kama wanaume wenzako tulivyo.Wewe ndio Brenda?