Arusha: Pata Matikiti-Maji kwa Bei Nafuu

Arusha: Pata Matikiti-Maji kwa Bei Nafuu

IMG20150624_002.jpg
 
Wadau,
Matikimaji bado yanapatikana. Zaidi ya hayo ya duara zebra, yapo pia ya duara-meusi na zebra yenye shepu ya yai.
Mnakaribishwa sana kwa mahitaji yenu ya jumla na rejareja.
 
Poa kamanda,Hongera kwa Kilimo.
Chuma kimetulia sana.
Wawekee bei hapa ya jumla na Reja reja angalau uwavutie wateja
 
  • Thanks
Reactions: Evy
Poa kamanda,Hongera kwa Kilimo.
Chuma kimetulia sana.
Wawekee bei hapa ya jumla na Reja reja angalau uwavutie wateja
Asante mkuu.
Bei yetu sisi ni halisi kabisa ya mtanzania wa kawaida.
Kwa rejareja tunauza kuanzia: TZS 500 kwa madogo, na makubwa kabisa yale oversize (extreme) tunauza TZS 2,500.
Kwa wale wa jumla tunauza kwa TZS 500 / kilo kama bei elekezi. Mteja akichukua mengi tutaangalia jinsi ya kumpa discount.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom