appl ya mechanical engineering

Ilambo

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
475
Reaction score
89
Mwenye uelewa anijuze ugumu wa mech ukilinganisha na civil na ajira zinapatikana?? Mi nimeappl mwaka huu huenda nikachaguliwa mech
 
electrical vp uliapply? dzain civil washakua shaz kitaan kak..iko poa sana electrical
 
So mechanical ngumu sana??
 
Soma electrical Kuna makampuni mengi sana ya umeme wanafanya miradi ya REA..hawana maengineer wa umeme.
 
Mwenye uelewa anijuze ugumu wa mech ukilinganisha na civil na ajira zinapatikana?? Mi nimeappl mwaka huu huenda nikachaguliwa mech
Ugumu wa kozi ukoje? iwe ngumu iwe rahisi now its too late maana ushaa apply
electrical vp uliapply? dzain civil washakua shaz kitaan kak..iko poa sana electrical
Sijui hata umeandika nini. Na mbaya zaidi ukute na wewe unaenda chuo wakati kuandika hujui.
So mechanical ngumu sana??

Hamna kozi ngumu au rahisi ni wewe mwenyewe utavyoichukulia ndivyo itavyokuwa!!! kuna uzi humu ulikua unaelezea kozi mbali mbali za engineering unaweza cheki thread za nyuma utaikuta, itakusaidia sana.
 
Watu wengine bna...nyie ndo wale neno link mnakuja kulisikia 1st time umemaliza form 6...kila kitu utataka link...

We mbwiga kweli!!!!!!!
Kwahyo Kama kuna njia rahisi ya kuipata tusitumie??
Fikiria kabla ya kupost. Unaeza ukawa unamjibu babako humu.
Ungekua umesoma usingehoji upumbavu kama huo.
 
We mbwiga kweli!!!!!!!
Kwahyo Kama kuna njia rahisi ya kuipata tusitumie??
Fikiria kabla ya kupost. Unaeza ukawa unamjibu babako humu.
Ungekua umesoma usingehoji upumbavu kama huo.

Wakongwe wa humu wanajua mimi ni nani....
 
Kwahyo Kama wanakujua ndio utoe comment ya hovyo ivo??
We unadhani kila anaeulizia maswala ya coz ni form 6 leaver?? Hakuna haja ya kujadl vitu visivyo na msingi.
Try something productive.
 
Kwahyo Kama wanakujua ndio utoe comment ya hovyo ivo??
We unadhani kila anaeulizia maswala ya coz ni form 6 leaver?? Hakuna haja ya kujadl vitu visivyo na msingi.
Try something productive.
Umeshajaa upepo sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…