ilibidi uwe ume-install kwa simu kabla haijaibiwa sa hizi ungekuwa unamchora tu mwizi wako mara unaweka password ukitaka unatoa, mara unampiga picha alipo, mara unaifanya simu inaita tuu, ukitaka unasoma meseji zake, contact zake unaziona tu unaona location yake, ukiamua unamtumia Sms Kaka Mwizi Mwe pole yaitwa Cereblus