Apartment inapangishwa Kijitonyama

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,138
Reaction score
365
Ina vyumba vitatu vya kulala kimojawapo kikiwa masta. Jiko la wastani, sebure na sehemu ya kulia chakula. Katika uzio zipo apartment mbili zote kwa sasa zipo wazi. Kodi yake tshs 1.2 kwa mwezi kwa moja. Ukihitaji kuziona tuwasiliane kupitia namba hii ya simu 0784225000.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…