apartment inahitajika dar es salaam

apartment inahitajika dar es salaam

Oppotunity

Member
Joined
Sep 9, 2013
Posts
38
Reaction score
12
habari wana jf
natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya mikocheni A,msasani au karibu na masaki. nyumba iwe self contained ya kawaida na bei isizidi laki nne kwa mwezi. mwenye taarifa yoyote juu ya hili naomba anijulishe tafadhali natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom