PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,211
- 4,170
Rejea kichwa cha habari. Mmekosa ubunifu wa vipindi kwenye station za Kingamuzi hiki.
Mfano station ya Star cinema. Picha zinarudiwa kila siku.
Kuna baadhi ya station hazionyeshi kwa Muda mrefu sasa bila kutatua shida hiyo.
Mmetuahidi kuongeza station hamjafanya hivyo.
Mmetuahidi kuonyesha Afcon kupitia ZBC2 lakini station hiyo imeota mbawa tangu Jumamosi bila kurekebisha? Wakati wenzenu wa Azam Tv ZBC2 ipo hewani.
Yakupasa utafute mtu mwingine. Mwenye weledi wa kiutendaji na mbunifu.
Punguzeni station wekeni station chache lakini zinaprogram nzuri na kuvutia watazamaji.
Mfano station ya Star cinema. Picha zinarudiwa kila siku.
Kuna baadhi ya station hazionyeshi kwa Muda mrefu sasa bila kutatua shida hiyo.
Mmetuahidi kuongeza station hamjafanya hivyo.
Mmetuahidi kuonyesha Afcon kupitia ZBC2 lakini station hiyo imeota mbawa tangu Jumamosi bila kurekebisha? Wakati wenzenu wa Azam Tv ZBC2 ipo hewani.
Yakupasa utafute mtu mwingine. Mwenye weledi wa kiutendaji na mbunifu.
Punguzeni station wekeni station chache lakini zinaprogram nzuri na kuvutia watazamaji.