njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
- Thread starter
- #41
hakuna hasara yoyote wamesaini miezi sita ina maana mikataba ina expire july, hata simba iukitolewa makundi ina maan ni mwezi wa tano na usajili wa msimu mpya ni mwezi wa 8 atakaye impress atakula hata miaka 2Waswahili wameamua tu kula hela ya Mudi! Wanakwenda kucheza mechi 6 afu wanatolewa....! Sema ndio hivyo jamaa anakata kwenye ile 2B!