Kuna hii dhana ya watu kutumia ulozi ili kufanikiwa kibiashara, kupandishwa vyeo, kuteuliwa n.k
Na wengine wanaenda kwenye madhehebu, yenye uelekeo huo; utumiaji maji, chumvi, mafuta, kutoa sadaka kubwa n.k
Ingawa haya mambo ufanyika gizani; ila kwa sisi jamii, tunakuja kuona matokeo tu; mara jamaa ana biashara kubwa, mara jamaa amekuwa CEO n.k
Swali la kujiuliza; katika hayo mazingira, anayelogwa ni mpandisha cheo au mpandishwa cheo? Na katika biashara, anayelogwa ni mnunuzi (wateja) au mwenye biashara?
Unalogwa ulimwengu wa roho unajibu huku mwilini, ni kama kupanda mmea ukaweka mbolea na maji utastawi sana kuliko usio na mbolea au maji, changamoto ni kuzoea mbolea ukikosa unanyauka
Unalogwa ulimwengu wa roho unajibu huku mwilini, ni kama kupanda mmea ukaweka mbolea na maji utastawi sana kuliko usio na mbolea au maji, changamoto ni kuzoea mbolea ukikosa unanyauka