Kinondoni,madada wa huko lazima niwaulize hili kwanza kama interview yao
Unamiaka mingapi?
Unamume au mtoto?
Unaishi kwako au kwenu?
Uzoefu wa kazi
na matarajio yako ya mshahara mbali na nauli iwe kiasi gani.
Duka lazima liwe na reception nzuri ya wahudumu ili uweze kuvutia wateja... Hauwezi kuwa na wahudumu wenye sura zenye muonekano kama ngozi ya goti afu ukategemea biashara yako itavutia wateja
Duka lazima liwe na reception nzuri ya wahudumu ili uweze kuvutia wateja... Hauwezi kuwa na wahudumu wenye sura zenye muonekano kama ngozi ya goti afu ukategemea biashara yako itavutia wateja