Anaswa Live!

eRRy

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2009
Posts
1,126
Reaction score
208


Source:LIVE - Global Publishers
:A S check_03:
 
Kwenye taifa lenye shida alfu lela ulela tena hasa afya... Shigongo ameamua kutuletea bibi zake. Wakati yeye ana mtoto wa watu pale mwenge anamuingia kinyume miaka nenda, miaka rudi... Sawa

nashangaa andhani yake hayajulikani:coffee:
 
Kwenye taifa lenye shida alfu lela ulela tena hasa afya... Shigongo ameamua kutuletea bibi zake. Wakati yeye ana mtoto wa watu pale mwenge anamuingia kinyume miaka nenda, miaka rudi... Sawa


ayaaa! kumbe! mkuu huyo mtoto wa kiume wa kike? shigongo si kaokoka jamani? lol salaleee!
 
kwenye taifa lenye shida alfu lela ulela tena hasa afya... Shigongo ameamua kutuletea bibi zake. Wakati yeye ana mtoto wa watu pale mwenge anamuingia kinyume miaka nenda, miaka rudi... Sawa

Duuuuh, mkuu hili unalosema ni suala nyeti, nashauri kama unalifahamu vyema tuandikie thread mpya inayoeleza uchafu wake ili wadau tumjadili vyema. Hatupendi watu wanaojidai kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu.
 
Kwenye taifa lenye shida alfu lela ulela tena hasa afya... Shigongo ameamua kutuletea bibi zake. Wakati yeye ana mtoto wa watu pale mwenge anamuingia kinyume miaka nenda, miaka rudi... Sawa

kupata umaarufu na kufanikiwa kki biashara hapa bongo si lelemama, kunauchafu mwingi.: viungo vya arubino, blood sacrifices, sodomization, adultely with blood relatives etc.......................
 
Khaa jamani huyu si mpendwa huyu?? Kweli mwenye data atueleze vizuri, yeye ni fundi sana kumwaga ya wenzake?? Mbinguni kugumu sana ni rahisi kiboko kupenya tungu la sindano. Ptuuuuu.!!!
 
kwenye taifa lenye shida alfu lela ulela tena hasa afya... Shigongo ameamua kutuletea bibi zake. Wakati yeye ana mtoto wa watu pale mwenge anamuingia kinyume miaka nenda, miaka rudi... Sawa


we acha utani,,,kweli?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…