Kuomba hela sio dhambi, ila wewe unatakiwa ujue anachokiomba anakwenda kufanyia nini, isijekuwa anaomba hela kwa fujo, kazi anayoifanya kuja kutuonga sisi wasukuma mikokoteni.
Mkuu huyo ndiye anatamiwa maana atakufanya ufanye kazi kwa bidii, ili umfurahishe na baadaye utageuka kuwa mtumwa wake! Kwani wewe haupendi kuwa mtumwa kwa mwanamke?