Kuna dada mmoja ananitamani sana hapa mtaani kwetu yaani mpaka kero, mi sijaoa eti kila siku ananitania eti nimuoe na mimi sitaki maana nina mchumba wangu yupo chuo saivi. Nifanyeje ili nimkimbie? asinizoee kabisa?
Mwanaume hupaswi kusema 'mwanamke Fulani ananitaka mi simtaki'...kamahumtaki mkatae kimya kimya bila watu kujua umemkataa.....ukiwa na tabia ya kusema sema...utakuja kujikosesha 'bahati' za kila aina......hata yule unaemtaka anaweza kusikia unavyo ropoka ropoka akakuona mshaamba kabisa...
Huyu jamaa ni mshamba na mademu wajanja hawadate na watu wa matangazo kama hama hawa.
Kuna mrembo mmoja nilidate naye miaka kadhaa iliyopita na hatukuwa kwenye serious relationship ikatokea siku tuko kwenye mtoko na mshikaji akaniambia kuna demu wake tumpitia kwao tumpick kufika pale she was the same girl niliyekuwa nammega kabla ya rafiki yangu.
Inshort ilichukuwa muda sana yule demu kuamini kwamba sikuwahi kumueleza lolote rafiki yangu kuhusu our past na hakuna kupasha kiporo na mahusiano yao yako very strong na mchizi anaoa kabisa.
Mfalme Suleimani alituhasa tuwe na akiba ya maneno, watu tunajuwa mengi lakini mengine tunamezea.
Kuna dada mmoja ananitamani sana hapa mtaani kwetu yaani mpaka kero, mi sijaoa eti kila siku ananitania eti nimuoe na mimi sitaki maana nina mchumba wangu yupo chuo saivi. Nifanyeje ili nimkimbie? asinizoee kabisa?