Unajua hizi nguo zisizo na mikono hua zina mambo yake,
Nadhan walimbana na pini sasa imeachia,
Na vile shamra shamra akashindwa kutengenezwa kwa haraka.
Hahahahaaa hivi hao warembaji wana akili nzuri kweli?
Halafu bibi harusi mzuri tu endapo wangempatia angetokelezea......
Bwana harusi anatabasaaamu mwenyewe!