Anahitajika Msichana wa Stationery!!

Spear_

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
1,739
Reaction score
1,018
Habari wadau, anahitajika msichana aliyesomea mambo ya Secretarial kwa ajili ya kusimamia Stationery na Internet Cafe

Sifa za Mwombaji:
1.Awe ni Mkazi wa Arusha Mjini
2. Awe amesomea na Kuhitimu course ya Secretarial

kwa anayehitaji ani pm namba ya simu.....atapigiwa!! masuala ya mshahara mtaelewana baada ya mazungumzo...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…