Habari wadau, anahitajika msichana aliyesomea mambo ya Secretarial kwa ajili ya kusimamia Stationery na Internet Cafe
Sifa za Mwombaji:
1.Awe ni Mkazi wa Arusha Mjini
2. Awe amesomea na Kuhitimu course ya Secretarial
kwa anayehitaji ani pm namba ya simu.....atapigiwa!! masuala ya mshahara mtaelewana baada ya mazungumzo...!!