Amenitongoza!


Kakosa busara huyo mdada... moyo wa mtu kiza kinene..
 
Hahahahahahah hivi ukimkopesha mdada na akawa hataki kukulipa cash utakubali yale malipo mengine?

Kama ni muumini wa hiyo kitu na biashara yenyewe ni poa/inalipa basi ruksa! Ila kuna wakati mikopo mingine inakaa kimtego mtego na mtu akiamua kuuvaa mkenge basi, na aubebe msalaba wote! Hata hivyo huwa kuna baraka kubwa tu kwa wale wanaoweza kusamehe. Mimi ningesamehe dada aende na hiyo lakini 500 ili nikwepe kugongwa mhuri wake. Nafasi zenyewe zilishajaa. Walau ni nisiharibu thamani ya ngozi kwa kuanza kuchakachua seheme nyingine za mwili.

Offt-topic: Huo wokovu umeuanza lini? Naona umepiga U-turn, kuanzia jina hadi trade marker! Au biashara ya zamani imechina?
 

Siku za mwisho hizi ndugu yangu! Aliyesimama aangalie asianguke
 
Ukimkopesha mdada ujue umempa na wala usitegemee kurudishiwa isipokuwa kwa wadada wachache sana. Wanapokuomba wanalialia sana, wakipata huanza sababu, iliyo kuu ni kutakwa au kutongozwa, utadhani ni ajabu. Wanasahau kwamba wanajidhalilisha wenyewe. Shame on women of the type!
 
Senkyu Sa....
Sasa mbona wanajifanya kuchukia wanapotongozwa???:confused2:

Zuga tu.. akikaa wiki hajapigiwa chapuo hata la salamu... bajet ya saluni na muda wa kukaa ktkt vioo vinaongezwa maradufu!!:smile-big:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…