okay, asante kwa kukiri kuwa jamaa alituingiza mkenge wa bil 220.
haya sasa hebu niambie mimi na wengine wasiojua kama mimi sababu ya liyumba kufungwa.
pole mkuu kwa kunidhihirishia kuwa huna jibu. kwa kifupi hujui kitu acha kuzuga. unanikumbusha ishu ya mabilion ya uswisi ya zitto, kumbe hana jina/account hata moja. pole.
okay, asante kwa kukiri kuwa jamaa alituingiza mkenge wa bil 220. haya sasa hebu niambie mimi na wengine wasiojua kama mimi sababu ya liyumba kufungwa. tafadhali hebu nitajie hao wengine. maana ninachojua ni kuwa kweka alionekana hahusiki.
yep mie namkumbuka anaitwa sara simba ulanga.......nchi hii ukiitumikia kwa moyo safi utakufa maskini na hakuna ambaye atakukumbuka kwa utumishi wako safi uliotukuka.........ila ukipiga issue mzito utaheshimika na mifano mnayo...........
pole mkuu kwa kunidhihirishia kuwa huna jibu. kwa kifupi hujui kitu acha kuzuga. unanikumbusha ishu ya mabilion ya uswisi ya zitto, kumbe hana jina/account hata moja. pole.