Aliyebanjua Mke wa Mugabe kaingia mitini!

yule jamaa ukim-face anakutoa sura yako mara moja,au una weza uka-potea ghafula bila mtu kujua.....yule gavana anajua kabisa kuwa mauti yake ipo mda wowote hivyo ni lazima akimbie.
by :smile-big:the way mke wa mtu ni sumu,na mshahara wa dhambi ni mauti
ISHU KAMA HIZO WALA HAUINGII MTINI UNAM-FACE MZEE MUGABE MAN TO MAN:smile-big:
 
Yaallah!!!!, ya mungu Makubwa, Mtu apewe kila kitu duniani, lakini akose TUNDA!!!!, hatafaidi Dunia!!!!, Bi Mugabe kapewa kila kitu ispokuwa hio naniiiii, ndo maana Mwenyezi Mungu, kamwambia Adam na Hawa, " Fanyeni kila kitu kwenye bustani, Lakini Tunda Hilo Jameni Msiliguse, Kwani ni Dhambi ya Milele",
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…