Yaallah!!!!, ya mungu Makubwa, Mtu apewe kila kitu duniani, lakini akose TUNDA!!!!, hatafaidi Dunia!!!!, Bi Mugabe kapewa kila kitu ispokuwa hio naniiiii, ndo maana Mwenyezi Mungu, kamwambia Adam na Hawa, " Fanyeni kila kitu kwenye bustani, Lakini Tunda Hilo Jameni Msiliguse, Kwani ni Dhambi ya Milele",