Alijinyonga aisee

MstahikiMeya

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
1,633
Reaction score
561
MKAKA: Sweety mambo?

MDADA: Poa asante

MKAKA: Samahani dada, mimi ni kijana ambaye nimekuwa nikikufuatilia kwa muda sasa, na nimegundua wewe ni mtu ambaye ningependa uwe mke wangu niishi nawe milele, naomba nikuoe.

MDADA: Haleluya, hatimae salazangu zimejibu, nimepata taabu sana mimi kaka,nimedanganywana wanaume wengi nikajitahidi kutumia waganga wengi ili nipatemume haikuwezekana,nikaamuakuokoka , nikafunga sana na kukesha sana na kutoa sadaka sana hakikutokea kitu, nikaamuakujiingiza hata katika klabu za mpira, mwaka mmoja nikawa Yanga mwingine nikawa simba,
wapi sikupata mume wa kunioa,nikajikondesha niwe na shepu yakimiss lakini bure, nikahama tokaMoshi nikaenda Tanga na hatimae kuja kuja Dar haikusaidia, nikajiunga na facebook,twitter, instagram, whatsapp nikaanzisha mpaka blog ya kujieleza natafuta mume,sikupata mume wa kunitamikia atanioa, nikajitahidi kuhudhuria maharusi mbalimbali bure, hatimae leo maombi
yangu yamejibu, asante sana kaka niko tayari hata leo kufunga ndoa.

MKAKA: Te te teeeee... Nakutaniaaaaaaa
aa!!!!!
Warning!
All copyright recieved.
 
All copyright '' recieved ''!!!!!!!!!.
 

kazi tunayo mwaka huu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…