MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 561
MKAKA: Sweety mambo?
MDADA: Poa asante
MKAKA: Samahani dada, mimi ni kijana ambaye nimekuwa nikikufuatilia kwa muda sasa, na nimegundua wewe ni mtu ambaye ningependa uwe mke wangu niishi nawe milele, naomba nikuoe.
MDADA: Haleluya, hatimae salazangu zimejibu, nimepata taabu sana mimi kaka,nimedanganywana wanaume wengi nikajitahidi kutumia waganga wengi ili nipatemume haikuwezekana,nikaamuakuokoka , nikafunga sana na kukesha sana na kutoa sadaka sana hakikutokea kitu, nikaamuakujiingiza hata katika klabu za mpira, mwaka mmoja nikawa Yanga mwingine nikawa simba,
wapi sikupata mume wa kunioa,nikajikondesha niwe na shepu yakimiss lakini bure, nikahama tokaMoshi nikaenda Tanga na hatimae kuja kuja Dar haikusaidia, nikajiunga na facebook,twitter, instagram, whatsapp nikaanzisha mpaka blog ya kujieleza natafuta mume,sikupata mume wa kunitamikia atanioa, nikajitahidi kuhudhuria maharusi mbalimbali bure, hatimae leo maombi
yangu yamejibu, asante sana kaka niko tayari hata leo kufunga ndoa.
MKAKA: Te te teeeee... Nakutaniaaaaaaa
aa!!!!!
Warning!
All copyright recieved.
MDADA: Poa asante
MKAKA: Samahani dada, mimi ni kijana ambaye nimekuwa nikikufuatilia kwa muda sasa, na nimegundua wewe ni mtu ambaye ningependa uwe mke wangu niishi nawe milele, naomba nikuoe.
MDADA: Haleluya, hatimae salazangu zimejibu, nimepata taabu sana mimi kaka,nimedanganywana wanaume wengi nikajitahidi kutumia waganga wengi ili nipatemume haikuwezekana,nikaamuakuokoka , nikafunga sana na kukesha sana na kutoa sadaka sana hakikutokea kitu, nikaamuakujiingiza hata katika klabu za mpira, mwaka mmoja nikawa Yanga mwingine nikawa simba,
wapi sikupata mume wa kunioa,nikajikondesha niwe na shepu yakimiss lakini bure, nikahama tokaMoshi nikaenda Tanga na hatimae kuja kuja Dar haikusaidia, nikajiunga na facebook,twitter, instagram, whatsapp nikaanzisha mpaka blog ya kujieleza natafuta mume,sikupata mume wa kunitamikia atanioa, nikajitahidi kuhudhuria maharusi mbalimbali bure, hatimae leo maombi
yangu yamejibu, asante sana kaka niko tayari hata leo kufunga ndoa.
MKAKA: Te te teeeee... Nakutaniaaaaaaa
aa!!!!!
Warning!
All copyright recieved.