Acha uongo ww soma gazet la mwananchi la juz, wamewaita watu 100 kwenye intrvw n inafanyika tarh 25 mwezi huu...mbn mnapenda kulopokwa? Ebu jitaid kusoma magazeti
Acha uongo ww soma gazet la mwananchi la juz, wamewaita watu 100 kwenye intrvw n inafanyika tarh 25 mwezi huu...mbn mnapenda kulopokwa? Ebu jitaid kusoma magazeti
Mm ninalo sema jins ya kuliweka ila majina yapi mia moja said abdallah,kaombwe simon,mompome elias,grace emmanuel,josephat yusufu,kasian,hanifa,mkore,ruth,nyamizin,....hayo nimachache au taja jina
Ya arusha naskia na ajira tayari wameshaanza kazi, zikiwa ni halmashauri wanafanya usaili wenyewe kupata labda km hawana jamaa wanaohang huko makwao la wanachukua ndugu zao mfano Maggessa mulongo kamleta shemeji yake toka Bukoba( mdogo wa mke),na anafanya kazi ya mtendaji kata
Ya arusha naskia na ajira tayari wameshaanza kazi, zikiwa ni halmashauri wanafanya usaili wenyewe kupata labda km hawana jamaa wanaohang huko makwao la wanachukua ndugu zao mfano Maggessa mulongo kamleta shemeji yake toka Bukoba( mdogo wa mke),na anafanya kazi ya mtendaji kata
Nakuambia hizi nafasi ndg majanga mungu atusaidie2 kwan mie niliuliza jamaa shinyanga akanambia et usaili j4 ambayo ni jana kumbe akuangalia vizuri kwa kua jina lake halipo pale lakini kuna usemi na tetesi kwamba tayari kuna watu wamesha andaliwa kupewa ajira hapo wengine tutauzulia tu
Mm ninalo sema jins ya kuliweka ila majina yapi mia moja said abdallah,kaombwe simon,mompome elias,grace emmanuel,Josephs yusufu,kasian,hanifa,mkore,ruth,nyamizin,....hayo nimachache au taja jina
Mm ninalo sema jins ya kuliweka ila majina yapi mia moja said abdallah,kaombwe simon,mompome elias,grace emmanuel,josephat yusufu,kasian,hanifa,mkore,ruth,nyamizin,....hayo nimachache au taja jina