ajira za walimu kisando english medium

Mkuu shule inapatikana Dar es salaam sehemu gani!?
 
WENGI mliotuma maombi mna elimu kubwa....na wengi ni wa shule za sekondari...inatuwia vigumu luwaita walimu wa sekondari....hali yakuwa huitaji wetu ni walimu wa shule ya msingi...
 
@princemhando
Kwani bro si shule ya private hyo sa masomo si ndo yale yale ...
Hasa kwa walimu wa arts maana science ndo mtihani mzito..
Kma malipo simtawalipa sawa na mifuko yenu msibanie kazi hizo tupeni nafasi jmn
 
Unawwza kuwa na GPA kubwa lakini ufundishaji ni zero. Mliangalie hilo pia
 
@princemhando
Kwani bro si shule ya private hyo sa masomo si ndo yale yale ...
Hasa kwa walimu wa arts maana science ndo mtihani mzito..
Kma malipo simtawalipa sawa na mifuko yenu msibanie kazi hizo tupeni nafasi jmn
[emoji1][emoji1]kwel kabisa
 
Huyu jamaa muangalieni sana, mjanja mjanja sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…