Kuwa na subira tu Mulugo aliondoka na flash disk yenye majina yenu, tumeagiza mtu amfuate songwe akiileta tuna upload hata kesho kutwa. Ikipotea itabidi tuanze upya kupanga. Pia yakiwa yameliwa virus/trojen horse itabidi yapangwe upya. Hazina hapakuwa na fungu ndicho kitu kilicho kuwa kinachelewesha pia.