Naona umeacha wahazabe wenzio porini umekuja JF kutoa dukuduku lako!....jitahidi kuja mara kwa mara, ipo siku tuu utajua kuandika na kuongea vizuri kama sisi!
ajira za kimasikini? Unamaana gani..ajira gani ni za kitajiri?usiwe na fikira potofu za kukatisha tamaa wenzako mshahara haukup utajir bali malengo,matumiz na kujituma wewe kaa acha wenzako wakafanye kweli
Huyu rais ni mwongo wakutupwa akiwa ziarani Tabora alisema ajira za mateacher ni mwezi January 2013 now ni February 2013 lakini kimya Au kunamwezi january wa kisiasa? Ndo ubaya wa kuchagua rais kwa kigezo cha Uhandsome.
Huyu rais ni mwongo wakutupwa akiwa ziarani Tabora alisema ajira za mateacher ni mwezi January now ni February lakini kimya Au kunamwezi january wa kisiasa? Ndo ubaya wa kuchagua rais kwa kigezo cha Uhandsome.
Timu ya mawaziri ni dhaifu kuliko maelezo! Jk akiambiwa ni dhaifu mna kuja na mapovu midomoni. Watakupa sababu za kijinga sana, eti hazina! Kweli ccm ni upuuzi!