Ajira za TRA SACCOS LTD

Joined
May 30, 2014
Posts
47
Reaction score
23
Nimetuma maombi kwa nafasi zilizotangazwa na saccoss ,email haikwenda Majibu yamekuja kuwa EMAIL ZIMEJAA KWA MPOKEAJI,

Mimi nimetuma Jana,

Mwenzangu alituma siku ya tangazo jioni nae ameambiwa hivyo,
Je Kuna Nini hapo?
 
Bila udhibiti wa UTUMISHI au mamlaka nyingine hili la ajira kutolewa na taasisi husika lina athari kubwa mbeleni. Nimekaa pale nasubiri vilio na machozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…