waairi huwa wanaahirisha mambo sana mpka tena waone crisis imerudi ndo wakumbuke backups za application files watu wanaanza kukimbia kimbia mara store au kwenye mabox yaliyotupwa huko na huko, nai k siku ya kuripoti kazini unapitishwa juu kwa juu airpot kwenda site bila hata ya kuingia head office kwanza ili kuwahi mambo na ma-deadlines kibao
Ila STAMICO walisema mtapewa majibu kupitia P.O.Box zenu mlizoonyesha kwenye anuani zenu