Ezekia chavala Member Joined Jul 29, 2015 Posts 70 Reaction score 10 Mar 12, 2016 #1 Jamani nachukua fursa hii kuuliza swala la ajira hasa wizara ya afya..ni lini..maana vijana wamejaa mtaani hwana kazi wakati upungufu wa watumishi wa afya ni mkubwa sana...kwa mwenye dondoo msaada please
Jamani nachukua fursa hii kuuliza swala la ajira hasa wizara ya afya..ni lini..maana vijana wamejaa mtaani hwana kazi wakati upungufu wa watumishi wa afya ni mkubwa sana...kwa mwenye dondoo msaada please