Helo members!
After applying through Ajira portal, getting to know that my application has been successful. How do I receive feedback, is it either through my email or.....?
Faru John kumbe upo hai? Lugha yetu kibongo bwana ambayo tnazaliwa tunaitumia, sasa lugha ya kuanzia sec tena ngumbalo, tupo vzr kujibia maswali tu ila sio ufanisi zaidi
Vjana wanasubr kuitwa kwenye Interview natamani kuona mass itakayokuwepo, watakaoitwa wapige pcha jinsi uwanja utakavojaa, nahisi itakuwa kama kuna mechi ya Simba vs Yanga!
Maana makontena yanayosubr ajira ni zaid ya kawaida,
Vjana wanasubr kuitwa kwenye Interview natamani kuona mass itakayokuwepo, watakaoitwa wapige pcha jinsi uwanja utakavojaa, nahisi itakuwa kama kuna mechi ya Simba vs Yanga!
Maana makontena yanayosubr ajira ni zaid ya kawaida,
Helo members!
After applying through Ajira portal, getting to know that my application has been successful. How do I receive feedback, is it either through my email or.....?
Vjana wanasubr kuitwa kwenye Interview natamani kuona mass itakayokuwepo, watakaoitwa wapige pcha jinsi uwanja utakavojaa, nahisi itakuwa kama kuna mechi ya Simba vs Yanga!
Maana makontena yanayosubr ajira ni zaid ya kawaida,