Ajira polisi



Ni ukweli aisee..
 
Mkuu si umeona sifa ni division 4?
Hahahaha! Hawataki wale wa kujiendeleza kimasomo,hivyo hizo four za 29 hadi 32 hazinaga appetite ya kusoma kufikia kiwango flani cha elimu, nadhani hii itakuwa msaada mkubwa kwa jeshi kuwa na nguvu kazi muda mrefu.akili zangu zinavyonituma lkn kama sijafikiria vibaya
 
Wanasema kuomba peleka maombi yako kwa kamanda wa polisi wa mkoa uliopo. Sasa nashindwa kuelewa kamanda wa polisi ndo wapi? Hasa kwa hapa dar.
 
Wenye connection kazi kwenu,acha tuwazae wakina Hamza mjaribiwe weredi wenu.
 
Wanasema kuomba peleka maombi yako kwa kamanda wa polisi wa mkoa uliopo. Sasa nashindwa kuelewa kamanda wa polisi ndo wapi? Hasa kwa hapa dar.
Na uandike barua kwa mkono.... 🤣
hizi ajila hizi.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…