Nadhani we utakuwa umepita Ifunda Sec @SN BARRY. Wakati Ifunda mi ndo home mkuu, na mto lyandembela nimetumia katika kumwagilia bustani za nyumbani. Enzi hizo
Nani kakuambia msomi haajiriwi? hebu fikiri vizuri...si wote wana lengo la kutafuta pesa kama unavyofikiri, mwingine anapenda profession yeke tu, hata akilipwa sh. laki 1 kwa mwezi.