Home of great thinkers ? ? ?,mwelevu hujifunza toka kwa mjinga unajua hilo. Kama umeona ni ujinga kaa kimya unafikiri kichaa akikuibia nguo wakati unaoga ukaanza kumkimbiza nani atoonekana kichaa. Hii so sehemu ya kujifunzia matusi. Heshimu mawazo ya mwenzio na ujiheshimu., usilazimishe kila mtu afikirie utakavo. Na nyie mnaodandia hoja vp ? kwa sababu flani kaongea na wewe unataka uongee. Think Big