Utapata pressure bure subiri kimya kimya ayo mapost watu wanapost ovyo sehem ya serikari kusema ni kwenye magazeta na tv na radioni izo sio taarifa sahihi
Wamesitisha mpaka wahakiki elimu zenu kama wewe unavyosema ajila badala ya ajira nazoezi hili linakwenda mpaka mwakani ndipi litakamilika na watakaobahatika ndiyo watapata ajira
Wamesitisha mpaka wahakiki elimu zenu kama wewe unavyosema ajila badala ya ajira nazoezi hili linakwenda mpaka mwakani ndipi litakamilika na watakaobahatika ndiyo watapata ajira
Sio ajila ni ajira we pimbi kasoro mkia.....eti huyu naye ni mwalimu!!kweli shida haichagui am sure ipo siku hii fani itakua saturated na hizi garbage zitafagiwa...tunawavumilia tu watu wa dizaini hii....