Watu 2 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 10 wamejeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Bagamoyo kwenda Dsm kuacha njia na kugonga mti kisha kupinduka ktk eneo la Mbuyuni -Tegeta.
Watu 2 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 10 wamejeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Bagamoyo kwenda Dsm kuacha njia na kugonga mti kisha kupinduka ktk eneo la Mbuyuni -Tegeta.
Njie wengine inaoneka hamjawahi hata kuendesha baiskeli, magari yana matatizo mengi, kabla ya kukimbilia kusema dereva alikuwa amelewa sio sawa, mfano kuna kitu kinaitwa strellig Road au tyroad hand ikikatika hata awe dereva wa Ikulu hawezi izuia gari isipoteze ulekeo
Watu 2 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 10 wamejeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Bagamoyo kwenda Dsm kuacha njia na kugonga mti kisha kupinduka ktk eneo la Mbuyuni -Tegeta.