Ajali: Basi la Kimbinyiko lapinduka Gairo

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,618
Reaction score
9,607
Basi la kampuni ya Kimbinyiko limepinduka wilayani Gairo mkoa wa Morogoro
Mpaka sasa hakuna vifo wala majeruhi walioripotiwa kuumia kwa ajali hiyo.

 
Poleni majeruhi,
Ungesema lilikua linatoka wapi kwenda wapi
 
Kuna ajali mbaya sana iliyohusisha coaster na treni pale masika morogoro Leo asubuhi ....sijaona bandiko lolote humu kuhusu hilo tukio
 
Kuna ajali mbaya sana iliyohusisha coaster na treni pale masika morogoro Leo asubuhi ....sijaona bandiko lolote humu kuhusu hilo tukio
Isuzu Journey

May Allah bless Me and You
 
Kuna ajali mbaya sana iliyohusisha coaster na treni pale masika morogoro Leo asubuhi ....sijaona bandiko lolote humu kuhusu hilo tukio
Saa yako ipo nyuma mkuu. Tulishapata habari tangu asubuhi mapema
 
Kuna ajali mbaya sana iliyohusisha coaster na treni pale masika morogoro Leo asubuhi ....sijaona bandiko lolote humu kuhusu hilo tukio

mwanangu ndio umewekewa bundle sasa hivi nini ? asee Slope haijawah acha mtu safi
 
Gairo ndio ipo Mkoani Morogoro eee!!
 
Hii Basi la Kimbinyiko lilikuwa linatoka wapi? kuelekea wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…