Ubichi.unategemea umri wako mkuuHabari wakuu
Ni matumaini yangu mu wazima kwenye hili jukwaa
Nimemshusha heshima kama vyeo vyangu nimeondoka navyo,hapa nipo zangu huku ndani ndani kinondoni mkwajuni kuna jirani yangu mmoja mdada mbichi tu kama sio 26,27umri wake hapo hawezi kuzidi.
Katika soga za hapa na pale huku tukiwa tunacheki movie majira ya usiku kha...Movie ya kuitwa the paranoid night sasa humo ndani kuna.Viscene vya kupelekeana moto heee bia zikaletwa hapo na mwanangu wa kuitwa James mwenyewe namwita kichwa mkuki bia kama mbili mbili tu sasa maongezi yakawa yanaendelea.
James akapigiwa simu akatoka njee nikabaki na huyo sista jina namuhifadhi anapiga mzigo pale Mayfair duuuuuuuh alichokisema sasa et Jerry umekula au bado nikamjibu sasa ***** si wote tupo hapa unaniuliza nini akasema "We jibu una njaa'' nikamwambia ndio nina njaa.
Akasema ukila kama utapenda jina la wimbo wa Gigy mi nakupa kwa roho sababu tu nakukubali.
Sasa hakurudia wala nini, daaa hiphop mimi sijui hizo nyimbo za wabana pua loooo sasa kumbe lidada lilishikwa na genye na lilifikisha ujumbe kwa njia ya ajabu maana nilivyogugo wimbo wa gigi nikakuta papa duuh yaani shame on her, shame on her maana anamjua mtu wangu ila akaamua anivunjie heshima.
Pengine nimefikiria vibaya sasa
Watu nikiwauliza wanajibu tu alitaka umgegede
Hiphop uwanja mpana kunguru weweMwana hiphop ndo anasemaga loooo, acha sifa zisizo na maana
Kwangu mbichi kabisaUbichi.unategemea umri wako mkuu
Niambie wa mchumba wa wapi...wa Mara nn walilia mifugoWanaume wa Dar[emoji848][emoji848]
Naona imeTeeeh teeh teeeh!
Kino tunaishi kinyamwezi Free sana so nilikuwa na washkaji sasa mtoto akang,ang,aniaUnatazamaje movie usiku na mwanamke sio wako. Muwe mnajiheshimu wenyewe kwanza kabla hamjataka huheshimiwa.
Wanawake wengine nao kwa kujirahisisha..[emoji57]
Simple mathematics au sio27-14=13
Ngoja ni close maana naona kama hii movie siielewi kabisa.Habari wakuu
Ni matumaini yangu mu wazima kwenye hili jukwaa
Nimemshusha heshima kama vyeo vyangu nimeondoka navyo,hapa nipo zangu huku ndani ndani kinondoni mkwajuni kuna jirani yangu mmoja mdada mbichi tu kama sio 26,27umri wake hapo hawezi kuzidi.
Katika soga za hapa na pale huku tukiwa tunacheki movie majira ya usiku kha...Movie ya kuitwa the paranoid night sasa humo ndani kuna.Viscene vya kupelekeana moto heee bia zikaletwa hapo na mwanangu wa kuitwa James mwenyewe namwita kichwa mkuki bia kama mbili mbili tu sasa maongezi yakawa yanaendelea.
James akapigiwa simu akatoka njee nikabaki na huyo sista jina namuhifadhi anapiga mzigo pale Mayfair duuuuuuuh alichokisema sasa et Jerry umekula au bado nikamjibu sasa ***** si wote tupo hapa unaniuliza nini akasema "We jibu una njaa'' nikamwambia ndio nina njaa.
Akasema ukila kama utapenda jina la wimbo wa Gigy mi nakupa kwa roho sababu tu nakukubali.
Sasa hakurudia wala nini, daaa hiphop mimi sijui hizo nyimbo za wabana pua loooo sasa kumbe lidada lilishikwa na genye na lilifikisha ujumbe kwa njia ya ajabu maana nilivyogugo wimbo wa gigi nikakuta papa duuh yaani shame on her, shame on her maana anamjua mtu wangu ila akaamua anivunjie heshima.
Pengine nimefikiria vibaya sasa
Watu nikiwauliza wanajibu tu alitaka umgegede
Hakuna mwanaume apo angalia avatar yakeWanaume wa Dar[emoji848][emoji848]
We mwanaume kweli au unaekti maana mwanaume unaweka apple avatar au mchicha weweHakuna mwanaume apo angalia avatar yake
Mvulana wa daslamu .
Nipo huku.kino ukifika mlango upo wazi.Wesukuma tuKatoto ka wapi aka