Shida kubwa nnayoiona ni vile Mwanamke anashindwa kutambua kwamba mahusiano mengi wanaume wanakuwa wanatafuta pleasure na sio commitment. Ni juu yako wewe mdada kumbaka jamaa kabla hujampa tunda. Ukidhani unampa tunda ndio unamshika unajidanganya tuu. Kama.unajua na wewe wataka starehe basi weka kinga, kitanzi, kijiti au sindano ilimradi kuepuka mimba zisizotarajiwa of course ndom msisahau.