Ndugu hela naitaka lakini kwa hiyo bei inaniumiza kwani bado kuna gharama za kuisafirisha hadi saiti kwako.
AC ukiiona nina hakika hutouliza Mara mbili.
Ndio maana nasisitiza bei ya mwisho ni laki 3.
Imetumika miezi 3 na wiki mbili.
Kwa vipimo sijui labda uangalie hapo kwa picha au kama upo tayari naweza nikakuletea mahala ulipo kwa gharama zangu na hata ukikuta sio nitairudisha kwa kwa gharama zangu bila kinyongo yaani ile kiroho safi. Sipo nyumbani ila ukihitaji naweza kuifata nikakuletea.