Air condition(ac) inauzwa.

uaminifukazi

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
1,481
Reaction score
928
Nauza AC imetumika miezi 3 na wiki 2. Bei laki 4.
Nipo tangibovu.
Kwa mawasiliano zaidi: 0713961638.





 
namba yako haipatikani whatsapp, kama una namba ya whatsapp nipatie please.
 
Nakupa 275000
Ndugu hela naitaka lakini kwa hiyo bei inaniumiza kwani bado kuna gharama za kuisafirisha hadi saiti kwako.
AC ukiiona nina hakika hutouliza Mara mbili.
Ndio maana nasisitiza bei ya mwisho ni laki 3.
Imetumika miezi 3 na wiki mbili.
 
Ni Horsepower ngapi?

Kama ni 1.5hp na haina tatizo lolote nitaichukua.
 
Ni Horsepower ngapi?

Kama ni 1.5hp na haina tatizo lolote nitaichukua.


Kwa vipimo sijui labda uangalie hapo kwa picha au kama upo tayari naweza nikakuletea mahala ulipo kwa gharama zangu na hata ukikuta sio nitairudisha kwa kwa gharama zangu bila kinyongo yaani ile kiroho safi. Sipo nyumbani ila ukihitaji naweza kuifata nikakuletea.
 
Mku nilikupa Laki mbili .Kama vipi nikuletee ulipo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…