Mkuu leo nimeingia jamii forums nakukuta topic yako ya kuhitaji agronomists, mi namaliza shahada yangu mwezi Agost nasoma agriculture general, kwavile kozi nyingi tunainteract na agronomy hata mimi na qualify kuwa agronomist mawasiliano yangu ni 0765987998 au 0782760087. Mkuu tusaidizane maana wengine hatujui hatima ya degree zetu.