After shave lotion

Nea

Member
Joined
Aug 15, 2014
Posts
26
Reaction score
2
Machine na viwembe vinavyotumika kunyolea ndevu huacha ngozi ziwe kavu zilizojaa mikwaruzo, hii husababisha ngozi kuwasha na kutokwa na vipele.

Kwa kutumia After shave lotion(Gentlema's pride) baada ya kunyoa itasaidia kurudisha ngozi yako katika haliyake ya kawaida kwa kuifanya iwe laini, kuondoa muwasho na kukufanya uwe na ngozi nzuri baada ya kunyoa.

Je unamfaham mtu yoyote anaepata shida ya muwasho na vipele baada ya kunyoa.?! Msaidie aondokane na tatizo hilo kwa kupata hii lotion. Kwa maswali na maelezo zaidi tuwasiliane 0787 583880
 

Nitakipigia mkuu
 
Weka bei na sehemu unapo patikana mkuu
 
Weka bei na sehemu unapo patikana mkuu

Napatikana Arusha na Morogoro ila ukijitaji ukiwa mikoa mingine pia nakutumia utaupata. Bei 31,000/=. Karibu sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…