Afanyeje huyu?

Yaan na mimi nimejiuliza kiwanja kimekuwaje.....once nilipokua chuo bf aliniambia tuchange pesa tununue shamba nikamwambia mimi sina uhakika kama utanioa tusije zurumiana baadae aiseee alikasirika hakuniamini tena uhusiano ukakosa uelekeo......ila mi nlisema ukweli mambo ya kumnunulia mwanamke mwenzangu asset hapana
 
Yah ni kwel haya mahusiano yana shida zake linapokuja kwenye swala la assets..... vip mliendlea au ndio viliishia hapo hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…