Adungwa mimba baada ya kunikataa

Me nimesema huyu ingekua vema km tungeona birth certificate yake ňna mashaka na age yake

anaweza kua uzao wa mulugo
tusimshangae sana!!akili nazo
tunarithi ujue!!
 
Naomba kuelimishwa jamani hivi mtu akipata mimba, ni kapata tatizo?
 
Kwan wewe si ulikuwa wataka papuchi yake pia men are the same aim yenu kwa mwanamke mnapomtongoza ni m1 tu..... mbunye

mie nashangaa...sii angemgegeda tuu alafu amtupe huko
 
hujafa hujaumbika? kwani mimba ni ulemavu?
 
Naona hii ni taarifa, sasa ili kutokuvunja moyo ngoja niseme ahsante sana kwa taarifa na mungu akubariki
 
wewe ngapi ushatupa/toa kwa kumwaga njeee, kutumia condom, ama kumwambia pendo aka-abort?
 
Mi naona ingekuwa vyema tungempa pole yake huyo dada kuliko kufurahia kilichotokea!!. Kwani hii hujafa hujaumbika yawezatokea kwa kila mtu, its just a matter of tym. Aliyemuweka nambamoja moyoni mwake, kumbe man kamuweka namba X, ni maamuzi tu natumai atatulia wakati mwingine. Pole yake.
 
Inaelekea umefurahishwa kichizi? Kwa taarifa yako unataka kusema kalaniwa kwa sababu kakukatalia? Kwani mimba ni ukoma? Huna akili ndo maana ukakataliwa.
 
Duh!kwan kupata mimba katiba hairuhusu au?
 

Pendo yupi? Weka picha yake...
 
Kitanda hakizai haram. Nawe umeruka mkojo, subiri kukanyaga mavi; umeikataa mimba subiri kuukubali UKIMWI. Mapenzi ya kweli husitiri siri za umpendaye. Hapa umeonyesha kuwa hata wewe ulikuwa unapenda papuchi yake tu, na angepata mimba bila shaka ungemkataa.
 
LUMBAKALA, Kwa hiyo Jua Liki zama unayo nafasi na ruhusa kumkufuru Mungu??????

Mmmmmmmmhhhhh!!!!!!, Si sahihi hata Kidogo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…