Ada kwa IFM

ndemeyejr

Member
Joined
Oct 31, 2016
Posts
18
Reaction score
19
Habari Wana jamvi,Naomba kufahamishwa,Je ada kwa mwanafunzi aliyechaguliwa na tamisemi kujiunga na chip kwa ngazi ya diploma,Je ada ni tofauti na aliyeomba moja kwa moja Nacte?
 
Habari Wana jamvi,Naomba kufahamishwa,Je ada kwa mwanafunzi aliyechaguliwa na tamisemi kujiunga na chip kwa ngazi ya diploma,Je ada ni tofauti na aliyeomba moja kwa moja Nacte?
Ada ni ile ile ndg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…