Acer Aspire 5742g Keyboard problem!

Manyanza

Platinum Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
19,984
Reaction score
45,666
Hallo wana Jamii
leo asubuhi nawasha laptop yangu, ikawa inatoa mlio na baadhi ya keys zikawa hazifanyi kazi nimeifungua na kuisafisha na kuifunga tena lakini tatizo bado linajirudia...
ninaomba mnisaidie ni wapi ninaweza kupata Keyboard mpya na bei zake huwa zinaendaje...
nahitaji msaada wenu maana ni miezi mitatu toka nimeinunua na kurudisha kwenye warranty naona itanipotezea muda...
kwa yeyote anayefahamu duka na bei zake aniambie maana mimi, sijakaa Dar es salaam muda kidogo sijui mambo yanaenda vipi..
Heshima mbele
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…