gfsonwin nakubaliana na wewe sana
hawana uwezo wala sio watu wa hali ya juu ila wana maisha ya kawaida mno ila wana roho ambazo ni nadra kuzipata au kuziona
Wana real love na love lisilouliza malipo
Wana huruma na maisha ya wenzao kuliko hatta ya kwao
Ni ukweli mtupu usemayo huwa hawadumu kwenye maisha haya