Haya kwa wanaolalamikia lugha,
Mwanaume anaweza kukupenda na asikuoe.
Mwanaume anaweza kuwa na ngono na wewe kwa miaka bila kukuoa.
Lakini mara tu anapokutana na mtu anayemletea uthabiti katika maisha yake, anamuoa.
Mwanaume ni mtazamaji mbele anapofikiria kuhusu ndoa, hawafikirii mavazi ya harusi, wasaidizi wa bibi harusi, chochote kile kinachowazia mwanamke kuwa ni cha kupendeza.
Wanapofikiria ndoa, wanawazia kama mwanamke huyu anaweza kujenga nyumbani kwangu.
Wanawake ni wanyenyekevu, wana uwezo wa kupokea na kuzalisha.
Unapompatia chakula, anakupikia mlo, unapompatia pesa, anakuletea amani, unapompatia mbegu, anakuletea watoto.
Unapompatia usumbufu, anakuwa ndoto yako mbaya zaidi na wanaume wengi wanajua hilo. Hii ndiyo sababu mwanaume anaweza kuwa na mwanamke kwa miaka kisha kukutana na mwingine ndani ya mwezi mmoja, kisha kuoana.
Wanachotaka ni uthabiti.
Ngono ni furaha, mapenzi ni hisia, HESHIMA ni uthabiti.