--------------------------------------
'There are more jews in Iran than there are in US?' - check your facts buddy there are five million in US now more than in any other country. Dont buy into things the muslim propagandist say against jews. Actually i started buying into this 'new world order
theory' but events like the bombings of the dar and Nairobi embassies plus the recent burning of churches i said to hell with the 'jihadists' and i support the jews 100% coz we all suffer the same fate now both christians and jews - we are all labelled as infidels by jihadists.
If we'd all put the veil of religion off for one sec and look back on history we'd realized how many horrible attrocities were commited and are still committed against jews today. Ask yourself have jews ever really rule the world? The romans did, so did the Brits and so did the egyptians. I'd have no problem at all with the jews taking the reigns today n what a world that would be!! Plus they are very good at whatever they set their minds to do. this holly war against the world starting with jews is hellish!
hapo kwenye red umeniacha hoi sana!![/QUOT
Ni upungufu wa akili tu wabaguzi wakubwa nyie
Wamefaulu through proxy kuwafanya muamini:
1. Science ni yao hali wameiba mambo yote kwa waislam
Algebra, Chemia (chemistry) , physia ( physics) ni ya waislam
Hata hizi number 1 hadi 9 na 0 ni xa waislam.
2. Wameiba science nyinyi kwenye Quran wao wamavumbua vitu
Karne nyingi baada ya kiteremshwa.
3. Wamefaulu kuwaosha akili kuwa wao ni taifa teule na
Nyinyi ni watu duni bado mnashangilia itikadi hizo. Au?
Kha!!
Upotovu wa kujidhalilisha! Yaani akili ni mali! Tazama tV leo siku ya Arafa utaona waislam wote wamevaa nguo aina moja haujui taifa, rangi tajiri au maskini,
4. Lazima tukubali kuwa wamefaulu kudramatize case yao kuliko wote duniani.
Vita kuu ya pili Warusi million 20 walipoteza maisha yao lakini husikii chochote
Nk! Pia wameweza kucontrol mataifa makubwa superpowers zinapokea orders mirija ya unyonyaji uchumi ndiyo nguvu yao!
A.Wewe kweli kasumba inakusumbua na ndo maana mpaka leo hamjui tofauti ya uarabu na uislam, tatizo lenu kubwa linalowafanya bongo zenu kudumaa ni kupapatikia waarabu, mwarabu alikuletea dini wewe ukabeba dini na utamaduni wa kiarabu na kujishusha kuwa mtwana wa waarabu,Funguka macho mbantu wewe!! ona kwa wakristo, mzungu kaleta dini lakini akitaka kutuletea na mambo yao ya kishenzi ya ushoga sisi tunayakataa,tunawaambia waziwazi maandiko yameharamisha mambo hayo, hatupapatikii kama nyie mnavopapatikia waarabu.Mzungu(mkristo) alitutawala lakini Nyerere(mkristo) aliwapinga wakoloni hao kwa kuwa alitambua thamani ya mtu mweusi lakini angalia baadhi ya waislam hapa bara na hasa kule zanzibar wanavopapatikia waarabu kiasi kwamba wako tayari awatawale tena,kama si kasumba ni nini? akisemwa mwarabu mwaja juu as if na nyie ni waarabu kumbe wabantu weusi tii, mkumbuke si waarabu wote ni waislam wapo na wakristo pia japo wachache lakini nao ni waarabu, hivi nyie waarabu wamewanogea nini, mnampa nini au anawapa nini? nadhani siri mwaijua wenyewe.
B.Halafu elewa kwamba jambo likigunduliwa au likifanywa mathalan na mmisri/mwarabu muislam ujue kwamba credit itaenda kwa wamisri na sio kwa wewe mbantu hata kama wewe ni muislam kama yeye! acheni uzembe na uvivu wa akili, usipapatikie mambo ya watu, ku share imani ni tofauti kabisa na ku share utaifa, timu yangu ya taifa ikicheza mechi halafu mfano Mrisho Halfan Ngassa(muislam) afunge bao na kupelekea timu yetu kubeba ubingwa, sifa hiyo haiendi kwa waislam inaenda kwa watanzania wote!! je saudi arabia ikicheza na Tanzania,utashabikia timu gani? au utashabikia saudia kwa sababu ni waislam!!? unashangaza kweli wewe!!
C.Hiyo science unayosemwa imeibwa kutoka kwa 'waislam' iko mfano wa keki? yaani kiasi kwamba mtu akiiba na kuila wewe uliyeibiwa unabakia huna keki? au ni technology ndo imeibiwa? na kama ni technology imeibiwa ina maana mwenye technology ataendelea kuwa nayo ila aliyeiba atakuwa ame copy tu, sasa kwanini huyo aliyeibiwa technology hatuoni yatokanayo na technology yake ila tunaona kutoka kwa wale wanaoitwa 'wezi'? akili yako haikusuti kuwa huo ni uongo na propaganda za kidini zisizo na mashiko?ingekuwa wewe ulijenga msingi wa nyumba halafu ukauza au kutelekeza eneo hilo then anatokea mr. maganga anajenga hotel juu ya msingi uliojenga wewe,je wewe utasema hotel hiyo ni yako?
D. Hilo suala la arafa waislam kuvaa sare, je linaishia kwa shughuli ya arafa tu au inakuwa ni mwendelezo na kuwa maisha ya kila siku, kama inaishia kwa ajili ya arafa tu, unapayuka nini kwa kuvaa sare kwa siku moja? hivi wewe mzima kweli, kuvaa sare ndo unaona jambo la maana sana, na kuchoma makanisa utasemaje? acha upuuzi wewe!!
Yeah, a typo. I meant to say there were more Jews in Iran than the entire middle east combined except Israel. Currently the number of Jews in Iran is estimated to be 25,000-50,000. But you are wrong as well when you say there are more Jews in US than anywhere- Israel has more.
You support Jews 100% in what? Good luck. I support righteoussness no matter it is from Jews or non-Jews.
You cannot claim to be supporting the Jews 100% and at the same time be the one calling for tolerance. Many things were committed against Jews, blacks, Gypsies and many other nationalities. So why just single out the Jews? Infact, Africans suffered more than the Jews, and still are, in this world. During the trans-Atlantic slave trade (which was conducted by the Jews) more than 20 million Africans perished.
You are more of a Jew than Jews.
This is the problem with the Bantus- always licking......licking....and licking.
Akh, mambo mawili tofauti kabisa. Hivi kuna watu wako tayari kupotosha hata jambo lililo wazi, ilimradi tu watetee itikadi, myths, na vigano vyao vya kale?
Kuruhusu Qur'an kula nguruwe wakati mtu anakabiliwa na njaa ya kuhatarisha maisha yake na hakuna chakula chochote mbele yake, hilo ni jambo la mantiki kabisa. Kwa kweli linatokana na kuheshimu na kuthamini maisha ya binadamu. Na si nguruwe tu, unaruhusiwa kufungua saumu ukiwa hatarini, au hata kuukana Uislamu ukiwa maisha yako yako hatarini. Kitu gani ni kinyume cha akili na mantiki hapa? Kwangu ingekuwa vinginevyo ndiyo ingekuwa kinyume cha mantiki.
Kwa hiyo nyie Wakristo unaambiwa mtu akikupiga umpe shavu jingine apige- huoni hayo ni kinyume cha mantiki? Umewahi kufanya hivyo hata siku moja? Au unamjua liyewahi kufanya?
Kwanza nakushukuru sana ndugu sijali kwa kunipa mafundisho ya kiislam maana umenifungua macho na sasa ninaamini kuwa mungu anayeabudiwa na waislam si Mungu anayeabudiwa na wakristo!
Mungu wa wakristo aruhusu kumkana katika mazingira yoyote yale maana anasema ukimkana naye atakukana siku ya kiama, ni makosa kwa mkristo wa kweli kuukana ukristo wake hata kama itamgharimu kifo, katika ukristo ni heri kufa shahidi ukisimamia imani yako na huwezi kujua pengine Mungu anakupima imani na unaweza usidhurike maana anaweza fanya maajabu na wanaotaka kukudhuru wakashindwa kutimiza azma yao!! Ni kama vile ibrahim baba wa imani alivyokuwa tayari kumtoa sadaka mwanae ili kumtii Mungu lakini alipokuwa katika mchakato wa kutekeleza agizo hilo Mungu alifanya miujiza akatokea kondoo dume naye akawa sadaka badala ya mwanae!!
Sasa ndo naamini kwanini siku zote mungu wa waislam hutetewa na wanadamu, kumbe hawezi kuadhibu au kulipa kisasi!! Mungu wa wakristo asema kisasi ni juu yake yeye!! kumbe kula kitimoto au kuukana uislam ni halali kwa muislam iwapo anaona inahatarisha maisha yake LAKINI kujilipua bomu ili ufe na adui yako afe labda kwa ajili ya kunajisi au kudhalilisha qur'an ni sawa kwa muslam si hatari!!
je unaweza kutoa shahada kwa mdomo at the same time unakana kwa moyo?yEAH, UNARUHUSIWA KUUKANA KWA MDOMO LAKINI SI KWA MOYO WAKATI MAISHA YAKO YAPO HATARINI. PIA UISLAMU UNATOA RUHUSA KWA YULE ANAYEHIARI KUFA KWA SABABU YA IMANI YAKE AFANYE HIVYO. NA WENGI SANA WAMEHIARI KUFA KULIKO KUOKOA MAISHA YAO. Angalia, kama unataka kuutoa kosa Uislamu, au dini yeyote, unaweza kupata makosa. Kwa hiyo usiseme ni Uislamu tu ndio hauendani na akili yako NA KWAMBA uKRISTO wako NDIO VERY LOGICAL. Wengine tunaona kinyume na tuna sababu nyingi tu zenye mantiki. Kwa mfano: inakuaje mtu afe kwa makosa ya mtu mwingine?
Kitu hicho hakiingii akilini na kama kinaingia akilini basi itakuwa sawa kumwadhibu mama yako, babu yako au mtoto wako kwa kosa ulilolifanya wewe. Unaona?
A.Wewe kweli kasumba inakusumbua na ndo maana mpaka leo hamjui tofauti ya uarabu na uislam, tatizo lenu kubwa linalowafanya bongo zenu kudumaa ni kupapatikia waarabu, mwarabu alikuletea dini wewe ukabeba dini na utamaduni wa kiarabu na kujishusha kuwa mtwana wa waarabu,Funguka macho mbantu wewe!! ona kwa wakristo, mzungu kaleta dini lakini akitaka kutuletea na mambo yao ya kishenzi ya ushoga sisi tunayakataa,tunawaambia waziwazi maandiko yameharamisha mambo hayo, hatupapatikii kama nyie mnavopapatikia waarabu.Mzungu(mkristo) alitutawala lakini Nyerere(mkristo) aliwapinga wakoloni hao kwa kuwa alitambua thamani ya mtu mweusi lakini angalia baadhi ya waislam hapa bara na hasa kule zanzibar wanavopapatikia waarabu kiasi kwamba wako tayari awatawale tena,kama si kasumba ni nini? akisemwa mwarabu mwaja juu as if na nyie ni waarabu kumbe wabantu weusi tii, mkumbuke si waarabu wote ni waislam wapo na wakristo pia japo wachache lakini nao ni waarabu, hivi nyie waarabu wamewanogea nini, mnampa nini au anawapa nini? nadhani siri mwaijua wenyewe.
B.Halafu elewa kwamba jambo likigunduliwa au likifanywa mathalan na mmisri/mwarabu muislam ujue kwamba credit itaenda kwa wamisri na sio kwa wewe mbantu hata kama wewe ni muislam kama yeye! acheni uzembe na uvivu wa akili, usipapatikie mambo ya watu, ku share imani ni tofauti kabisa na ku share utaifa, timu yangu ya taifa ikicheza mechi halafu mfano Mrisho Halfan Ngassa(muislam) afunge bao na kupelekea timu yetu kubeba ubingwa, sifa hiyo haiendi kwa waislam inaenda kwa watanzania wote!! je saudi arabia ikicheza na Tanzania,utashabikia timu gani? au utashabikia saudia kwa sababu ni waislam!!? unashangaza kweli wewe!!
C.Hiyo science unayosemwa imeibwa kutoka kwa 'waislam' iko mfano wa keki? yaani kiasi kwamba mtu akiiba na kuila wewe uliyeibiwa unabakia huna keki? au ni technology ndo imeibiwa? na kama ni technology imeibiwa ina maana mwenye technology ataendelea kuwa nayo ila aliyeiba atakuwa ame copy tu, sasa kwanini huyo aliyeibiwa technology hatuoni yatokanayo na technology yake ila tunaona kutoka kwa wale wanaoitwa 'wezi'? akili yako haikusuti kuwa huo ni uongo na propaganda za kidini zisizo na mashiko?ingekuwa wewe ulijenga msingi wa nyumba halafu ukauza au kutelekeza eneo hilo then anatokea mr. maganga anajenga hotel juu ya msingi uliojenga wewe,je wewe utasema hotel hiyo ni yako?
D. Hilo suala la arafa waislam kuvaa sare, je linaishia kwa shughuli ya arafa tu au inakuwa ni mwendelezo na kuwa maisha ya kila siku, kama inaishia kwa ajili ya arafa tu, unapayuka nini kwa kuvaa sare kwa siku moja? hivi wewe mzima kweli, kuvaa sare ndo unaona jambo la maana sana, na kuchoma makanisa utasemaje? acha upuuzi wewe!!
A. Fungua yako umekubali kuwa wewe si mtoto mteule wa Mungu wewe ni mtu duni. Hiyo propoganda ya ukoloni
Inakuonyesha mawazo yako bado yako miaka 50 nyuma. Find something useful
B. irrelevant explanation. Naona umo matopeti tu
c. Matope tena hautaki kuitumia akil yako kufaham
D. Matope tena hautaki kufaham. Kuchoma makanisa ni hatua ya wachache na haina uhusiano na Uislam. Ni sawa na mie nikuulize je padri analawiti watoto kanisani?
NakushUri usome vizuri kwanzo you will be a better person sio kuparuka ovyo tu. akili ukiitumia itakupa elim na logic ma
mkuu ni kweli bongo za waarabu hata aishi miaka mia bado ubongo wake ukiuweka mezani unakuta bado mpya i mean hajautumia kabisa kama ukilinganisha na ubongo wa kijana wa miaka 20 wa kiyahudi utakuta ubongo wake umesha chakaa!,waarabu hawatumii sana ubongo ktk kufikiri na kutenda thats y matendo yao yapo kimkato sana kujilipua,kuchinja, kukata,kula,kunywa kahawa kwenda kufanya maandamano,kuchoma matairi,kurusha mawe na kufuga mashetani hususani majini! na ukiangalia kwa umakini hata miji yao na vitu vyao wamejengewa na wayahudi either kama third part au directly,nani walijenga mapiramidi ya misri kama sio wayahudi?!yale makampuni yanayojenga dubai yanimilikiwa na wayahudi waholanzi!,chakuchekesha hadi mafuta wanachimbiwa na usa na ukiangalia utagundua wahandisi wengi ni wayahudi
Mimi kwa kweli ndo hapo na choka kabisa. hivi sisi waislamu tunapofanya violance kwa jina la allah, tunakuwa sahihi kweli? Tumefanya fujo mbangala, lakini wenzetu hawajalipa kisasi!!! Najiuliza mwenyewe nani kweli anaye muabudu Mungu wa kweli? anayefanya fujo,anazuia wanawake wasiende shule, anaua watu ovyo, analazimisha watu kwa nguvu waheshimu dini yake AU ni yule anayefanya kinyume na hayo?Myahudi noumaaaaaa...............haya maislamu kazi yao kufikiria violence tu basi
Wewe ni fundamental racist and very ignorant. Na point to debate. Ingekuwa unaakili huwezi kutukana taifa la watu mamilion. Sleep with jews to hell
Iwe padri,askofu au hata papa akifanya ulawiti au dhambi yoyote ile huo ni mzigo wake na ataadhibiwa na Mungu kwa uovu aliofanya maana ukristo haujahalalisha kufanya uovu huo haina, je sheikh au imam akilawiti anakua ametekeleza itikadi za kiislam? kama amekiuka uislam je uislam wote unahukumiwa kwa uovu wake?D. Matope tena hautaki kufaham. Kuchoma makanisa ni hatua yYa wachache na haina uhusiano na Uislam. Ni sawa na mie nikuulize je padri analawiti watoto kanisani?
kuchoma makanisa kunakofanywa na umma wa waislam ni tofauti na uovu wa muislam mmoja mmoja, haiwezekani waislam wengi kwa pamoja waongozane kwenda kuchoma makanisa na isiwe ni ajenda ya siri katika kutekeleza itikadi za kiislam!!
Kweli unakuwa na wakati wa kufikiri au unazuka tu? Mimi hutumia redio, televisheni, gari, Ipad, nguo....hebu niambie ni kipi kati ya hivi vimegunduliwa na Myahudi?
Halafu unauelezaje Uyahudi: ni dini au ni race? Maana kama ni dini maana yake nikiingia dini ya Kiyahudi na mimi nitakuwa 'itelligent' kama wao? Na kama ni race, Wayahudi wengi kwa kweli ni aidha Wa Ulaya ya Magharibi au ya Mashariki. Huko ndiko walikoishi kwa mamia ya miaka.... Sasa ni kitu gani hiki kinachomfanya awe tofauti na Wa-Ulaya wengine? This is stupid brain wash. Kitu pekee ninachokubali ni kuwa Wayahudi hutilia mkazo masomo na wana taasisi zao pekee wanazowakuza watoto wao kwa training tangu udogo. Pia wana vyama vya kuwasaidia watu wa jinsi yao kusoma kwa kuwalipia fees na kadhalika. Kwa hiyo, la maana hapa sio Uyahudi, bali ni kujiandaa vizuri kimasomo. Kwa maana hiyo, hata Msukuma, kama ngekuwa na mipango kama hiyo ya masomo pia angekuwa na uwezo huo huo. Kumbe huu upuuzi wa apartheid uko hata kwa Wabantu?
je unaweza kutoa shahada kwa mdomo at the same time unakana kwa moyo?
Iwe padri,askofu au hata papa akifanya ulawiti au dhambi yoyote ile huo ni mzigo wake na ataadhibiwa na Mungu kwa uovu aliofanya maana ukristo haujahalalisha kufanya uovu huo haina, je sheikh au imam akilawiti anakua ametekeleza itikadi za kiislam? kama amekiuka uislam je uislam wote unahukumiwa kwa uovu wake?
kuchoma makanisa kunakofanywa na umma wa waislam ni tofauti na uovu wa muislam mmoja mmoja, haiwezekani waislam wengi kwa pamoja waongozane kwenda kuchoma makanisa na isiwe ni ajenda ya siri katika kutekeleza itikadi za kiislam!!
Wale wanoaupiga Uislam na vita vya wazi wazi kutekeleza Islamophonia ulimwemgu mzima. Imeshakua ni halali kuuwasmilion ya watu under the banner of Terrorism . Ni halali kuuwa kutumia ndege na vifaru Tanks maelf ya watu ila mtu akiuliwa wanaomhusu hata afikie hatua ya uchumgu wa kujiripua mnamwita terrorist. Leo ni mchi ngapi zinamyukulia halafu wanaripua kiwanda cha bunduki cha nchi ongine. You have a licence to kill which of your three Gods gave you that? . Nabii Issa (Jesus) didn't and we Muslims know that. He was a true messenger of God. He was a Muslim( full submission to God). Islam means Peace. Killing one person injustly is like killing the whole of mankind. Saving one life is like saving all mankind. So clearly written in holy Quran.
You are preaching the most hypocrite words; barbaric as blood of millions of innovent people in your hands . Lead by example if you wish to convert if at all.