A big deal la nyumba mbezi beach

A big deal la nyumba mbezi beach

carlerion

Member
Joined
Apr 23, 2014
Posts
18
Reaction score
1
Habari wana JF..ninapangisha nyumba yenye vyumba viwili masterbedroomz vyote,sitting room na jiko plus baraza kubwa nje..nyumba ni mpya inajitegemea kwa kila kitu iko ndani ya fence..dakika tano kutoka barabara kuu...kodi kwa mwezi ni laki tano...ukilipa kodi ya miaka miwili na nusu utapewa bonus ya kuongezewa miaka miwili mingine free kabisaa..its serious...contact 0712 240 334 for more details
 
Hauna ya laki 3 nä sisi watu wa chini tuishi mbezi
 
Kwakweli hapo uko chini kiongozi kwa ubora na nyumba yenyewe mkuu...
 
Mbezi Beach nyumba 500,000 au haina bati
 
Habari wana JF..ninapangisha nyumba yenye vyumba viwili masterbedroomz vyote,sitting room na jiko plus baraza kubwa nje..nyumba ni mpya inajitegemea kwa kila kitu iko ndani ya fence..dakika tano kutoka barabara kuu...kodi kwa mwezi ni laki tano...ukilipa kodi ya miaka miwili na nusu utapewa bonus ya kuongezewa miaka miwili mingine free kabisaa..its serious...contact 0712 240 334 for more details

That means kodi ni 277,777/= kwa mwezi ila inatakiwa ulipe ya miaka mi4 na nusu(Miezi 54)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom