duh, kweli bongo kali
sasa tusisahau kwamba hilo jengo limejengwa miaka nenda miaka rudi... ulizia renovation au ujenzi wa nyumba ya gavan, nyumba ya idris rashidi, nyumba za mwaziri nk zilitumia mda gani?
Its not about priorities, its about ignorance in priorities kwa hawa leaders
Hivi tumeshajiuliza kama huduma za meno, emergency, kisukari, moyo, ngozi, watoto nk kama zinatosha?