chalii wa ara
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,086
- 1,021
Hapo umesema mtu akija na plate no.yake hii inakuwaje,ni plate no.isiyo na number kabisa au hata kama ina namba mnaweka hiyo 3D...?Je unapenda gari lako kuwa na muonekano mzuri na wa kijanja unaonendana na wakati wa sasa ?
Kama ndivyo karibu ofisini kwetu tukutengenezee 3d plate numbers no za kisasa zenye kuongeza mvuto na thamani ya ndinga yako, kwa Gharama ya Tsh 50,000/= ukija na plate no yako na Tsh 100,000/= kwa plate no mpya.
Tunapatikana Kariakoo, Kibambawe na Jangwani Street
Mawasiliano 0713 979798
View attachment 2535958
View attachment 2535960
View attachment 2535964View attachment 2535965
Yenye no ndyo tunaweka mkuu, hiyo nimesema kwa wenye gari mpya zisizo na no au wenye plate no zilizo na chakaa na kuhitaji kuweka mpyaHapo umesema mtu akija na plate no.yake hii inakuwaje,ni plate no.isiyo na number kabisa au hata kama ina namba mnaweka hiyo 3D...?
Mkuu ahsante sana kwa ushauri wako, be blessed.Attachments zako hazifunguki. Kama watumia browser attach kisha insert.
Uzuri wa hizo za 3D trafiki wakiweka vile ving'amuzi vyao kukagua mabao hazinaswi, wewe utapita tu....
🤣🤣Uzuri wa hizo za 3D trafiki wakiweka vile ving'amuzi vyao kukagua mabao hazinaswi, wewe utapita tu....
Supu imeingia naziWakuu karibuni sana, Mungu ni mwema kazi inaendelea.
Lishakua LojoSupu imeingia nazi