Walibadili sheria muda tu, ni kwamba mshindi wa kombe la shirikisho la Azam pekee ndiye mwenye tiketi ya kuingia ya kucheza kombe la shirikisho Africa. Zaidi ya hapo anachukuliwa walioshika nafasi ya tatu na ya nne kwenye msimamo wa ligi kuuGeita Gold ameingia kwenye shirikisho kwa kigezo kipi?
Mm nilifikiri Coastal Union ndio wenye nafasi ya pili Azam cup na kwa namna alivyopambana atacheza shirikisho barani Afrika.
Hii sheria iliwekwa kipindi Yanga au Simba alikuwa hana uhakika wa nafasi ya 4?Walibadili sheria muda tu, ni kwamba mshindi wa kombe la shirikisho la Azam pekee ndiye mwenye tiketi ya kuingia ya kucheza kombe la shirikisho Africa. Zaidi ya hapo anachukuliwa walioshika nafasi ya tatu na ya nne kwenye msimamo wa ligi kuu
Hapo awali TFF hawakuweka utaratibu unaoeleweka wa kumpata mwakilishi wa kombe la shirikisho Africa. Msimu wa mwaka 2018/2019 kombe la Azam lilibebwa na Azam na Lipuli wakawa washindi wa pili, lakini cha ajabu Lipuli akaachwa kuwakilisha mashindano ya CAF confederation na badala yake wakampa KMC kwavile kashika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi kuu hivyo ikawa runners-up wa kombe la Azam hana nafasi kwenye CAF confederation cup.Hii sheria iliwekwa kipindi Yanga au Simba alikuwa hana uhakika wa nafasi ya 4?
Sawa nimeelewa japo sikubariani na utaratibu uliowekwaHapo awali TFF hawakuweka utaratibu unaoeleweka wa kumpata mwakilishi wa kombe la shirikisho Africa. Msimu wa mwaka 2018/2019 kombe la Azam lilibebwa na Azam na Lipuli wakawa washindi wa pili, lakini cha ajabu Lipuli akaachwa kuwakilisha mashindano ya CAF confederation na badala yake wakampa KMC kwavile kashika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi kuu hivyo ikawa runners-up wa kombe la Azam hana nafasi kwenye CAF confederation cup.
Msimu wa 2019-2020
Simba anachukua kombe la Azam dhidi ya Namungo, lakini cha ajabu hapo TFF wameona runners-up ndiye anayepaswa kuwakilisha nchi kwenye kombe la CAF confederation cup hivyo Yanga ambao walikuwa wa pili kwenye msimamo wakashindwa kuwakilisha nchi kwenye michuano ya CAF confederation cup. Kulikuwa na malalamiko kadhaa juu ya kutokuwepo na utaratibu maalumu bali TFF kujiamulia tu wanachojisikia ndipo ikaja kwa utaratibu huu wa mshndi pekee wa kombe la Azam ndiye atakayepaswa kuwakilisha nchi zaidi ya hapo pambana kwenye ligi ushike nafasi za juu
Sawa, lakini ndio utaratibu unaotumika hata ulaya.Sawa nimeelewa japo sikubariani na utaratibu uliowekwa
Timu kumi zinaanzia raundi ya pili, ikiwemo SimbaUzi huu ni maalumu kwaajili ya kupeana update ya mashindano ya vilabu barani Africa ( Klabu bingwa na Shirikisho Africa)
Tanzania tukiwa tunawakilishwa na vilabu vinne ambsvyo ni Yanga, Simba, Azam na Geita gold ambapo Simba na Yanga watakuwa kwenye klabu bingwa wakati Azam na Geita Gold watakuwa kwenye shirikisho.
Utaratibu wote wa mashindano upo chini ya kamati ambao ndio yenye wajibu wa kusajili vilabu vitakavyoshiriki mashindano kwa msimu husika pamoja na kuwasajili wachezaji, kupanga ratiba ya mashindano na mwisho ni kujua mashirika wanachama watakaohusika na mashindano.
Kwasasa, mashirikisho wanachama wanatakiwa kuwasilisha timu zao ambazo zitashiriki mashindano ya vilabu msimu wa 2022/2023 na mwisho wa zoezi hili tarehe 31 mwezi wa 7.
Baada ya mashirika kutoa vilabu vyao vitakavyoshiriki kwenye klabu bingwa na shirikisho, CAF watapanga idadi ya timu itakazoanzia hatua ya awali na zitakazoanzia hatua ya pili. Ifahamike tu ya kwamba CAF ina wanachama 54 na katika mashindano kuna uwezekano wa baadhi ya wanachama wasishiriki mashindano kutokana na sababu zao mbali mbali ikiwemo ya kiuchumi, miundo mbinu, n.k hivyo kutokana na idadi ya wanachama wataokaoshiriki ndipo itakayoamua idadi ya timu za kuanzia raundi ya pili kwasababu inatakiwa zifike timu 32 itakazocheza raundi ya pili.
Hapo chini ni ratiba ya mashindano ya CAF ngazi ya vilabu kwa msimu wa 2022/2023
View attachment 2294183
Hakuna guarantee ya timu 10 kuanzia hatua ya pili bali inategemea na idadi ya wanachama watakaoshiriki michuano.Timu kumi zinaanzia raundi ya pili, ikiwemo Simba
Umeelezea kitaalamu sana, sidhani kama mashabiki wa Mbumbufu S.C wanaelewa hiliHakuna guarantee ya timu 10 kuanzia hatua ya pili bali inategemea na idadi ya wanachama watakaoshiriki michuano.
Timu zinatakiwa ziwe jumla ya 64 ili zikicheza mechi za hatua ya awali zitoke 32 na zibakie 32 ambazo ndio zitacheza hatua inayofuata (hatua ya pili) na kisha zibaki timu 16 zitakazounda unda makundi manne.
Mfano msimu uliopita kulikuwa na wanachama 42 tu walioshiriki michuano katika jumla ya wanachama 54. Ukichukua idadi ya 42 ukitoa mashirikisho 12 zinazoingiza timu mbili mbili unabakiwa na wachama 30 walioingiza timu moja moja, hivyo imefanya kuwe na jumla ya timu 54 zilizoshiriki michuano ya klabu bingwa. Katika 54 ili timu zifike 64 kuna gap ya timu kumi hivyo hizo timu kumi ndio zilizoanzia hatua ya pili. Huku timu 44 zikianzia hatua ya awali ili kuweza kubalance timu zifike 32 zitakazocheza hatua ya pili.
64-54= 10
54 -10 = 44
44/2= 22
22+10=32
Umeelezea kitaalamu sana, sidhani kama mashabiki wa Mbumbufu S.C wanaelewa hili
njaakalihatari , Scars, OKW BOBAN SUNZU tumalizie maombi ya mwishoHakuna guarantee ya timu 10 kuanzia hatua ya pili bali inategemea na idadi ya wanachama watakaoshiriki michuano.
Timu zinatakiwa ziwe jumla ya 64 ili zikicheza mechi za hatua ya awali zitoke 32 na zibakie 32 ambazo ndio zitacheza hatua inayofuata (hatua ya pili) na kisha zibaki timu 16 zitakazounda unda makundi manne.
Mfano msimu uliopita kulikuwa na wanachama 42 tu walioshiriki michuano katika jumla ya wanachama 54. Ukichukua idadi ya 42 ukitoa mashirikisho 12 zinazoingiza timu mbili mbili unabakiwa na wachama 30 walioingiza timu moja moja, hivyo imefanya kuwe na jumla ya timu 54 zilizoshiriki michuano ya klabu bingwa. Katika 54 ili timu zifike 64 kuna gap ya timu kumi hivyo hizo timu kumi ndio zilizoanzia hatua ya pili. Huku timu 44 zikianzia hatua ya awali ili kuweza kubalance timu zifike 32 zitakazocheza hatua ya pili.
64-54= 10
54 -10 = 44
44/2= 22
22+10=32
Umeelezea kitaalamu sana, sidhani kama mashabiki wa Mbumbufu S.C wanaelewa hili
Nimethibitisha pasi na kuacha shaka kwamba unayajua haya mambo. Hongera sana.Hakuna guarantee ya timu 10 kuanzia hatua ya pili bali inategemea na idadi ya wanachama watakaoshiriki michuano.
Timu zinatakiwa ziwe jumla ya 64 ili zikicheza mechi za hatua ya awali zitoke 32 na zibakie 32 ambazo ndio zitacheza hatua inayofuata (hatua ya pili) na kisha zibaki timu 16 zitakazounda unda makundi manne.
Mfano msimu uliopita kulikuwa na wanachama 42 tu walioshiriki michuano katika jumla ya wanachama 54. Ukichukua idadi ya 42 ukitoa mashirikisho 12 zinazoingiza timu mbili mbili unabakiwa na wachama 30 walioingiza timu moja moja, hivyo imefanya kuwe na jumla ya timu 54 zilizoshiriki michuano ya klabu bingwa. Katika 54 ili timu zifike 64 kuna gap ya timu kumi hivyo hizo timu kumi ndio zilizoanzia hatua ya pili. Huku timu 44 zikianzia hatua ya awali ili kuweza kubalance timu zifike 32 zitakazocheza hatua ya pili.
64-54= 10
54 -10 = 44
44/2= 22
22+10=32
Rasta maombi ya nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alishasema kule wenye akili ni JK na baba yake tyuuh, ko hadi yeye ni kichaaa.Kwahiyo kipindi kile Manara anawaambia mtaanzia round ya pili alikua anawaokota nyie Utopolo?
Mimi ni shabiki wa Simba, lakini huwa napenda watu wawe wanaelewa zaidi kuliko kukariri. Hakuna idadi kamili ya timu bora kuanzia raundi wa pili ya CAF CL. Hizo timu kumi zilikuwani kwa msimu uliopita, kila msimu idadi hupungua au huongezeka kulingana na idadi ya timu zote zilizothibitisha kushiriki. Kwa hiyo licha ya Simba kuwemo katika 10 bora ya washiriki wa CAF CL, inawezekana kabisa kwa msimu huu zikachukuliwa timu 7 au hata 12. Lengo la wapanga ratiba ni kwamba timuzichujane katika raundi ya awali lakini kwa namna yoyote round ya kwanza zibaki timu 32, ili makundi ziwepo timu 16. Sasa kwa kuwa idadi ya nchi na timu zinazothibitisha hubadilika mwaka hadi mwaka, hata timu zinazoanzia raundi ya awali idadi yake hubadilika. Kwa hiyonusishangae msimu huu Simba yumo katika 10 bora za washiriki lakini akaanzia raundi ya awaliTimu kumi zinaanzia raundi ya pili, ikiwemo Simba
Mkuu mmesahau, maombi yalianza kwa Etoil du Sahel, yakaja kwa Orlando pirates na sasa inabidi kumalizia kwa wanachama washirika wa CAF wasilete timu nyingi ili timu ya Simba ianzie hatua ya piliRasta maombi ya nini?
Simba kushiriki hatua ya pili ni uhakika mzee, wanaonzia hatua ya awali washajulikanaMkuu mmesahau, maombi yalianza kwa Etoil du Sahel, yakaja kwa Orlando pirates na sasa inabidi kumalizia kwa wanachama washirika wa CAF wasilete timu nyingi ili timu ya Simba ianzie hatua ya pili