Kama mnataka kuwa na mtu makini atakayewaletea maendeleo
basi Profesa Ibrahim Haruna Lipumba ndiye chaguo sahihi, msifanye
makosa huyo ndiye msomi atakayeikoa nchi hii kiuchumi.
Tuache makundi, tuache utani, tuache chuki LIPUMBA ndiye
chaguo sahihi.
NAWASILISHA.